240. Safirini kwa Amani
Safirini kwa amani,
na Mungu wetu awalinde
tena majeshi ya mbingu.
Yesu akiwaongoza
mwafurahiwa kila siku:
Za raha hata za shida.
Kwaheri! Kwaheri!
Mwokozi wetu mkuu
awe nanyi! Tuombapo
tusisahau kuombeana daima.
Safirini kwa amani,
na Mungu wetu awalinde
tena majeshi ya mbingu.
Yesu akiwaongoza
mwafurahiwa kila siku:
Za raha hata za shida.
Kwaheri! Kwaheri!
Mwokozi wetu mkuu
awe nanyi! Tuombapo
tusisahau kuombeana daima.
Comments
Post a Comment