218. Pambazuko la Jua
1. Pambazuko la jua,
mwanga usiopimika,
unapotutokea
tunaamshwa na moyoni.
Giza linafukuzwa na mchana.
2. Umande unanyesha
yatakayo kunyauka,
nami nione kwako
nguvu kuinuka tena,
niongozwe rohoni kwa kweli.
3. Asubuhi uzima
unaletwa duniani,
nami ninatamani
kufufuka na rohoni,
ufufuke na mwili mbinguni.
4. Mchana zinaangazwa
njia zote kwa furaha,
woga unapokwisha
na machozi na mashaka,
ndipo nitachangamka daima.
Comments
Post a Comment