210. Kila siku Asubuhi

1. Kila siku asubuhi

   Yesu anabisha hodi 

   mlangoni kwa wamwombao:

   Bwana Yesu, njoo kwetu!


2. Tumfungulie milango 

   ya mioyo aingie, 

   Tumwalike kwa furaha: 

  “Bwana Yesu, njoo kwetu”.


3. Kaa kwetu siku zote, 

   ufukuze maadui, 

   wasiweze kutudhuru 

   sisi tulio wako.


4. Uwe Mchunga wetu mwema,

   utulishe malishoni, 

   tukutumaini wewe 

   leo na siku zote.


5. Kweli Yesu atulisha,

   anatuongoza leo.

   Ni furaha yetu kubwa.

   Tunakwenda na Yesu. 


Comments

Popular posts from this blog

230. Mwezi Umechipuka

151. Ee Moyo Wangu, Hima