206. Kuna Nchi Nzuri Mbali Sana

1. Kuna nchi nzuri mbali sana.

   Wako watu wema, wasimama,

   waimba vizuri sifa zake 

   Mwokozi,

   nasi duniani twamtukuza.


2. Njooni kwa nchi hii njooni sasa!

   Mbona mwasimama

   mashakani?

   Tuache makosa,

   yanamchukiza Bwana. 

   Kwake tutaketi kwa salama.


3. Machozi hapana, 

   wala hamu,

   mbele yake Baba 

   mapenzi tu.

   Utaona raha utapewa 

   kilemba kuvikwa na wale wa 

   mbinguni!


Comments

Popular posts from this blog

230. Mwezi Umechipuka

151. Ee Moyo Wangu, Hima