205. Ametwaliwa Rafiki Yetu
1. Ametwaliwa rafiki yetu
hatutamwona tena mwilini.
Ameondolewa hapa petu,
tunamzika mwili kaburini.
2. Ametwaliwa tuliyempenda,
twajua ni mapenzi ya Mungu.
Hayupo kwani Mungu amwita,
aingie kundini pa Mungu.
3. Ametwaliwa kutoka kwetu,
lakini tutaonana tena.
Yu katika furaha ya kweli,
na kule tutaimba pamoja!
Comments
Post a Comment