181. Enyi Wakristo, Kumbukeni
1. Enyi Wakristo, kumbukeni hivi:
Sisi tunaokula mkate mmoja
tunaokunywa kinywaji kimoja,
tu mwili mmoja.
2. Tukipatana vema kama ndugu,
tukiwasaidia wenye shida,
tukiwashika walio wanyonge
twamtii Bwana.
3. Tukikumbuka
pendo lake kubwa,
tutapendana nasi mpaka kufa.
Ee, Bwana, utimize shauri hili
vizuri kwetu.
Comments
Post a Comment