157. Mjini ni Mbinguni
1. Mjini ni mbinguni kwa Mungu,
hakuna mabaya na shida,
waongofu wengi wamejaa
wanaomsifu Mwana Kondoo
Mbinguni, mbinguni
mjini ni mbinguni
kwa Mungu.
Mbinguni mbinguni
kwa Mungu ndio mji wa
kutupendeza.
2. Wateule wengi wa huko
wanaoangazwa na Yesu,
huko kuna furaha yetu.
Jua lake ni la uzima.
Mbinguni, …
3. Moyo wangu una furaha
ya kwenda mbinguni kwa
Mungu. Bwana univute uliko,
kiaga chako kitimie!
Mbinguni, …
4. Kitambo kidogo kipite
na mimi nifike mbinguni.
Bwana wangu Yesu nakuomba:
Ukoo wangu wote ufike
Mbinguni, …
Comments
Post a Comment