149. Chini ya Bawa Lako

1. Chini ya bawa lako, 

   ee Yesu nifiche

   Unipe raha kwako

   kwenye mambo yote. 

   Na uwe yote kwangu, 

   hekima, shauri,

   na siku zangu zote 

   niwe na amani.


2. Nisamehe makosa 

   nioshe kwa damu, 

   unipe nia safi

   na mapenzi mapya.

   Wakubwa na wadogo 

   ututunze sote,

   na kwa amani yako 

   tupate furaha.


Comments

Popular posts from this blog

230. Mwezi Umechipuka

151. Ee Moyo Wangu, Hima